KCPE Kiswahili Revision Paper With Answers
Soma vifungu vifuatavyo. Vina nafasi 1 mpaka 15. Kwa kila nafasi umepewa majibu manne. Chagua jibu moja lifaalo kati ya yale uliyopewa
Nyongeza ya …….1……….. ya kuegesha magari……….2……….jiji la Nairobi ni sawa kabisa. Hata kama kuna uwezekano wa kuongezwa zaidi, basi nitafurahia sana. Hatua hii itasidia kutatua shida ya ………..3…….. wa magari kuingia jijini. Nawashauri magavana …………4……… kaunti nyingine …….5……. wafuate …………6………. za Gavana wa Nairobi ili kutoa suluhisho …………7…….. kaunti zao
A B C D
- ada kiingilio fola nauli
- katikati mwa Katikati ya katikati pa katikati kwa
- safi mzengwe msongamano mlolongo
- zote yote kote wote
- arubaine na sita arubaine na saba arubaine thelathini na saba
- unyayo nyayo mkondo mfano
- kwa ndani katika katika katikati
……………8………… serikali kuharamisha matumizi ya viboko ………9………. wanafunzi shuleni yamkini kuna kadhaa ya walimu ambao bado wanatumia mbinu ………….10……… chafu kukosoa wanafunzi wao. Kuchapa mtoto kiasi ………..11………. kumjeruhi vibaya ni udhalimu wa hali ya juu ambao haupaswi kuruhusiwa katika ……….12……. zetu za elimu. Katika kisa cha hivi punde zaidi, mwalimu ……….13……… na kumvunja mbavu mwanafunzi wa …………..14……… cha nne. Kwa mujibu wa taarifa mwanafunzi huyo baadaye alizimia, hali…………15………. Maandaman shuleni humo
Kutoka swali la 16 hadi 31, chagua jibu lililo sahii
- Chagua kielezi katika sentensi ifuatayo
Tulivuka msitu na nyika lakini hatukumpata
A)Lakini B) Msitu wa nyika C) Htumumpata D) Tulitembea
17. Ni sentensi ipi ambayo imetumia ‘kwa’ kuonesha misemo
A) Mbili kwa tatu
B) Alienda nyumbani moja kwa moja
C) Arusi ilihudhuliwa na wasichana kwa wavulana
D) Timu ya Arsenali iliwafunga Newscastle bao noja kwa sufuri
18. Chagua usemi taarifa wa:
‘Mjitayarishe tuondoke kesho’ baba alisema
A)Baba alituambia tujitayarishe tuondoke kesho
B) Baba anatuambia tujitayarishe tuondoke siku iliyofuata
C) Mjitayarishe tutaondoka siku inayofuata
D) Baba alituambia tujitayarishe tuondoke siku iliyofuata
19. Chagua wingi wa :
Ninaipenda nyama ya bata kuliko ya kuku
A)Wanazipenda nyama za bata kiliko za kuku
B) Mnazipenda nyama za mabata kuziliko za kuku
C) Tunaipenda nyama ya bata kiliko ya kuku
D) Tunazipenda nyama za mabata kuliko za kuku
20.Tegua kitendawili
Naenda na mwenzangu narudi peke yangu
A) Umande B) Kivuli C) Chawa D) Kifo
21. Chagua jibu ambalo lina vihisishi pekee
A)kidogo, raha mustarehe, baadaye, zaidi
B) kwa,ni,katika,hadi
C) kumbe!, ole wangu!, Allah akbar! Ajabu!
D) –enye, -ingine, wa, tano
22. Andika kwa wingi
Mtoto anaruka
A) Watoto wanaruka
B) Watoto waliruka
C) Watoto wataruka
D) Watoto wameruka
23. Chagua senteni ambayo ina matumizi ya kiambishi ‘ki’ cha wakati uliopita hali ya kuendelea
A) Aliniamkua alipokuwa akipita kijijini
B) Mjomba wangu hupenda kuvaa kizamani
C) Akisoma atafaulu kama kifungua mimba wao
D) Mwalimu akinipongeza nitafurahia mno
24. Neno gani amalo lina silabi tatu
A) Mkwajuni B) Mti C) Mkate D)Karatasini
25. Rafiki wa kike wa mwanaume huitwa
A) Umbu B) Babu C) Somo D) Shoga
26. Buda ni kwa ajuza,…………………. Nikwa ghulamu
A) Kapera B) Banati C) Bin D) Mseja
27. Sayari iliyo na pete ni:
A) Zohali B) Zaibaki C) Mshatarii D) Zuhura
28. ………………….. ni kwa sebuleni na toroli ni viwandani
A) Parafujo B) Takia C) Kinoo D) Kibago
29. Chagua methali ambayo haiafikiani na maelezo yafuatayo
‘Inatumiwa kwa mtu ambaye amefanya jambo baya kwa maksudi kisha likaishia
kumletea madhara’
A) Fimbo wa maskini mlifi ni Mungu
B) Mwiba wa kujichoma hauambiwi pole
C) Mwenya tumbo ni tumbole angafunga mkaja
D) Mwenye pupa hadiriki kula tamu
30. Ukubwa wa sentensi
Kiatu kidogo kimenunuliwa , ni:
A) Jiatu dogo limenunuliwa
B) Viatu vidogo vimenunuliwa
C) Jikiatu dogo limenunuliwa
D) Kijiatu kidogo kimenunuliwa
KCPE Kiswahili answers
1 | A | 26 | B |
2 | B | 27 | C |
3 | C | 28 | B |
4 | D | 29 | D |
5 | A | 30 | A |
6 | B | ||
7 | C | ||
8 | B | ||
9 | A | ||
10 | D | ||
11 | C | ||
12 | B | ||
13 | D | ||
14 | C | ||
15 | B | ||
16 | B | ||
17 | B | ||
18 | D | ||
19 | D | ||
20 | C | ||
21 | C | ||
22 | A | ||
23 | A | ||
24 | C | ||
25 | D |
Elimu Centre is your one-stop-shop for all your education informational needs and much more.
Follow us at Elimu Centre